TAZARA Mbeya Saccos Limited
+255 757 290 618   Login

Mikopo nafuu

Tunatoa mikopo yenye riba nafuu kwa wanachama.

Mikopo nafuu

Huduma za kifedha

NMB, CRDB, NBC, Mpesa, Tigopesa, Airtel money, T Pesa na Halopesa.

Huduma za kifedha

Elimu ya uchumi

Tunatoa elimu ya matumizi ya fedha na uwekezaji kwa wanachama.

Elimu ya uchumi

Karibu tukuhudumie

Fika ofisi zetu zilizopo Iyunga Mbeya tukuhumie.

Karibu tukuhudumie

Mikopo itolewayo

Tunatoa mikopo ya aina mbalimbali kwa mahitaji tofauti. Kiasi na riba inategemea aina ya mkopo na muda wa kurejesha mkopo.

Mkopo wa maendeleo

Mkopo wa maendeleo

Hadi TSh 30,000,000

Pata mkopo wa maendeleo hadi TZS 30,000,000 utakaorejeshwa kwa muda wa hadi miezi 48. Riba ya mkopo ni aslimia 1.2.

Mkopo wa biashara

Mkopo wa biashara

Hadi TSh 70,000,000

Pata mkopo wa Biashara hadi TZS 70,000,000 utakaorejeshwa kwa muda wa hadi miezi 48. Riba ya mkopo ni aslimia 2.

Matangulizo ya Mshahara

Matangulizo ya mshahara

Hadi TShs 100,000

Pata mkopo wa matangulizo ya Mshahara hadi TZS 100,000 utakaorejeshwa kwa muda wa hadi miezi 1. Riba ya mkopo ni aslimia 5.

Mkopo wa vifaa

Mkopo wa vifaa

Hadi Tsh 2,000,000

Pata mkopo wa vifaa hadi TZS 2,000,000 utakaorejeshwa kwa muda wa hadi miezi 18. Riba ya mkopo ni aslimia 3.

Mkopo wa elimu

Mkopo wa elimu

Hadi Tsh 1,000,000

Pata mkopo wa elimu hadi TZS 1,000,000 utakaorejeshwa kwa muda wa hadi miezi 6. Riba ya mkopo ni aslimia 2.

Mkopo wa dharura

Mkopo wa dharura

Hadi Tsh 500,000

Pata mkopo wa dharura hadi TZS 500,000 utakaorejeshwa kwa muda wa hadi miezi 4. Riba ya mkopo ni aslimia 3.

Mkopo wa sikukuu

Mkopo wa sikukuu

Hadi Tsh 200,000

Pata mkopo wa sikukuu hadi TZS 200,000 utakaorejeshwa kwa muda wa hadi miezi 2. Riba ya mkopo ni aslimia 5.

Historia fupi ya chama

Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Tazara Mbeya kilianzishwa Mwaka 1992 kikiwa na Wanachama waanzilishi 123 na Mtaji wa Tshs 600,000/=. Kilipata Usajiri rasmi 20.10.1994.
Nambari ya kuandikishwa ni MBR 349. Hadi sasa chama kina Jumla ya Wanachama 1300 ambapo Wanaume ni 1000 na Wanawake 275 na Vikundi vya Wajasiriamali 25.

Idadi ya Wanachama imeendeleo kuongezeka siku hadi siku pia Wateja wanaofungua akaunti za Amana (Current Account) wamefikia 2000. Akaunti za Amana zinazofunguliwa katika Chama chetu hazina Makato ya kila Mwezi hivyo huwasaidia sana Wajasiliamali Wadogo, Vikundi/Vikoba, Wafanyakazi na Wananchi kwa Ujumla.

Chama kina Jumla ya Mtaji wa Tshs 4.5 Bilioni ikiwa Hisa za Wanachama ni zimefikia thamani ya Tshs 680 Milioni na Akiba na Amana za Wanachama ni Tshs 3.8 Bilioni.

Huduma nyingine

Tunatoa mikopo ya aina mbalimbali kwa mahitaji tofauti. Kiasi na riba inategemea aina ya mkopo na muda wa kurejesha mkopo.

NBC

NBC

Wakala

Tunatoa huduma za kifedha kwa Bank ya NBC. Kutoa na kuweka fedha.

NMB

NMB

Wakala

Tunatoa huduma za kifedha kwa Bank ya NMB. Kutoa na kuweka fedha.

CRDB

CRDB

Wakala

Tunatoa huduma za kifedha kwa Bank ya CRDB. Kutoa na kuweka fedha.

TPB

TPB

Wakala

Tunatoa huduma za kifedha kwa Bank ya TPB. Kutoa na kuweka fedha.

Equity

Equity

Wakala

Tunatoa huduma za kifedha kwa Bank ya Equity. Kutoa na kuweka fedha.

Mpesa

Mpesa

Wakala

Tunatoa huduma za kifedha kwa M-PESA. Kutoa na kuweka fedha.

Airtel

Airtel money

Airtel money

Tunatoa huduma za kifedha kwa Airtel money. Kutoa na kuweka fedha.

Tigopesa

Tigopesa

Wakala

Tunatoa huduma za kifedha kwa Tigopesa. Kutoa na kuweka fedha.

Kauli mbiu yetu

Weka akiba, Kopa kwa busara, Lipa kwa wakati.

Wasiliana nasi

Unaweza kuwasiliana nasi kwa kututembelea ofisini, kutupigia simu au kututumiaujumbe kutoka kwenye tovuti yetu ya www.tambesa.co.tz

Tutembelee

Iyunga bus stop, Mbeya

Tupigie

+255757290618

Tuandikie

info@tambesa.co.tz

Mahali tulipo

Tunapatikana kituo cha Daladala cha Iyunga Jijini Mbeya.

Waliotembelea tovuti

Waliopo sasa

Wageni wa leo

Wageni wa wiki

Wageni wa mwezi

Copyright © 1994 - 2022

TAZARA Mbeya Saccos Limited

Wasiliana Nasi